mikoa yote niliyopita nimeona ushindi waziwazi Magufuri afunguka

HAYA NDIYO YALIYOJIRI CHATO


Ikiwa compaign zikiendelea kulindima hiki ndicho alichokisema magufuli Ushindi tutakaopata Oktoba 25 ni wa kishindo. Nimebakiza mikoa 14, mikoa yote niliyopita nimeona ushindi waziwazi.



moja ya ziara zake dk magufuri

umati wa wananchi wa chato wakiwa wamefurika kumsikiliza dk magufuli

Bi Janeth Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika mji wa Chato jioni hii