MTIKILA AFARIKI DUNIA

TANZIA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI DUNIA





Aliekua  mwanasiasa mkongwe wa chama cha DP MC,Christopher mtikila, mapema hivi leo amepata ajali ya gari na kufa papo hapo ...   








































Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,Jaffar Mohamed amethibitisha kifo cha mchungaji Mtikila RPC Mohamed amesema Mtikila alikuwa akitokeaMorogoro kuelekea Dar na alikuwa na watu watatu katika gari hilo ambao wamejeruhiwa Amesema chanzo cha ajali hiyo bado kinachunguzwa.